Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Akina baba nao wamo ndani vita dhidi ya surua

Akina baba nao wamo ndani vita dhidi ya surua

Pakua

Ethiopia, kampeni ya kitaifa ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa surua iliyoanza mwezi Juni mwaka huu, imeanza kuonesha mwitikio mkubwa hata miongoni mwa wazazi wa kiume.

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
1'48"
Photo Credit
UNICEF/Kiran Panday