Akina baba nao wamo ndani vita dhidi ya surua
Pakua
Ethiopia, kampeni ya kitaifa ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa surua iliyoanza mwezi Juni mwaka huu, imeanza kuonesha mwitikio mkubwa hata miongoni mwa wazazi wa kiume.
Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
1'48"