Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Virusi vya wanyama takriban 850,000 huenda vikapata binadamu

Virusi vya wanyama takriban 850,000 huenda vikapata binadamu

Pakua

Ripoti mpya iliyotolewa leo na jukwaa la kimataifa la sera za kisayansi kuhusu bayoanuai na huduma za mifumo ya viumbe (IPBES) na kutathiminiwa na mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya bayoanuai (CBD), imeonya kwamba majanga makubwa ya milipuko ya magonjwa yako njiani laki hatua madhubuti zikichukuliwa hatari inaweza kupunguzwa.

Audio Credit
Flora Nducha- Jason Nyakundi
Audio Duration
5'57"
Photo Credit
WHO/Africa