27 Oktoba 2020
Pakua
Tanzania chonde chonde fanyeni uchaguzi kwa amani, yatoa wito ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa, OHCHR.
Janga la kibinadamu likishika kasi Cabo Delgado, UNICEF yafika na kuchukua hatua.
Nuru ya amani yaanza kuonekana katika eneo la PK 5 nchini CAR, MINUSCA yashuhudia.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'59"