Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uwasiishaji wa silaha ni ishara mzuri kuelekea amani eneo la PK5, Bangui

Uwasiishaji wa silaha ni ishara mzuri kuelekea amani eneo la PK5, Bangui

Pakua

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka amani na utulivu nchini Jamhuri ya Afrika ya kati MINUSCA, umewapongeza waliokuwa wanachama wa makundi ya wapiganaji katika eneo la PK 5 waliokuwa wanajiita makundi ya kujilinda baada ya kukabidhi silaha zao mbele ya Waziri wa nchi hiyo anayesimamia upokonyaji silaha kutoka kwa raia, ujumuishaji na urejeshaji katika jamii wa watu waliokuwa wapiganaji ikiwa ni sehemu za Umoja wa Mataifa kuhamasisha usitishaji mapigano duniani kote.

Audio Credit
Flora Nducha- John Kibego
Audio Duration
2'5"
Photo Credit
MINUSCA Photo