Ukosefu wa ajira ni changamoto kwa wahamiaji Lebanon
Pakua
Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM limesema ukosefu wa ajira endelevu na makazi salama kutokana na janga la corona au COVID-19 na athari zake za kiuchumi vimewaacha maelfu ya wafanyakazi wahamiaji nchini Lebanon katrika hatari kubwa ya usafirishaji haramu wa binadamu na ukatili.
Audio Credit
Flora Nducha- Assumpta Massoi
Audio Duration
2'18"