Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

26 Oktoba 2020

26 Oktoba 2020

Pakua

Ripoti yabaini magari mengi yanayopelekwa nchi za uchumi mdogo hayafai. 
Ukosefu wa ajira na makazi salama vyawaacha wafanyakazi wahamiaji hatarini Lebanon, imesema IOM.
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO huko nchini Madagascar linatekeleza mradi wa kuhakikisha kuwa wakazi wanaoishi karibu na eneo la hifadhi la Makira wanakuwa na uhakika wa kupata mlo bora bila kusambaratisha eneo hilo la hifadhi.
 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
12'20"