Umoja wa Mataifa ukitimiza miaka 75 na mafanikio iliyoyafikia
Pakua
Kesho ni siku ya Umoja wa Mataifa, chombo hicho kikitimiza miaka 75 tangu kuanzishwa kwake! Katika mada kwa kina Anold Kayanda anatupitisha safari ya kuanzishwa kwake na zaidi ya yote simulizi ya mtu aliyezaliwa mwaka mmoja na Umoja wa Mataifa, mtu ambaye amewahi kushika nyadhifa ndani ya Umoja wa Mataifa, barani Afrika na ndani ya taifa lake la Tanzania. Kwako Anold!
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Anold Kayanda
Audio Duration
5'24"