Mkimbizi kutoka Syria na huenda akatimiza ndoto yake Hispania
Pakua
Kutana na mtoto mkimbizi kutoka Syria na familia yake wanaoishi nchini Lebanon, ambao mpango wa shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR wa kuwapeleka wakimbizi nchi ya tatu unawapa fursa ya kwenda kuishi Hispania, hatua wanaiona ni mwanya wa kutimiza ndoto ya muda mrefu. Kulikoni?
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Flora Nducha
Audio Duration
2'1"