Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mamilioni ya watu hawana sehemu ya kunawia mikono-UNICEF

Mamilioni ya watu hawana sehemu ya kunawia mikono-UNICEF

Pakua

Ingawa kunawa mikono kwa sabuni ni muhimu katika mapambano dhidi ya magonjwa ya kuambukiza ikiwemo COVID-19, mamilioni ya watu duniani hawana mahali pa kunawia mikono, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF katika siku ya kimataifa ya kunawa mikono hii leo.

Audio Credit
Flora Nducha- Ahimidiwe Olotu
Sauti
3'41"
Photo Credit
UNDP Bangladesh/Fahad Kaizer