Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Si afya tu COVID-19 imeathiri pia mifumo ya chakula

Si afya tu COVID-19 imeathiri pia mifumo ya chakula

Pakua

Taarifa ya pamoja iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa imeonya kwamba hatua madhubuti zisipochukuliwa sasa kukabiliana na athari za janga la corona au COVID-19 kwa maisha ya watu, ajira na mifumo ya chakula basi uhakika wa chakula duniani utakuwa njiapanda

Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
2'25"
Photo Credit
WFP/Gabriela Vivacqua