Si afya tu COVID-19 imeathiri pia mifumo ya chakula
Pakua
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na mashirika ya Umoja wa Mataifa imeonya kwamba hatua madhubuti zisipochukuliwa sasa kukabiliana na athari za janga la corona au COVID-19 kwa maisha ya watu, ajira na mifumo ya chakula basi uhakika wa chakula duniani utakuwa njiapanda
Audio Credit
Flora Nducha- Anold Kayanda
Audio Duration
2'25"