Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Majanga yamegharimu dunia dola trilioni 2.9 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita

Majanga yamegharimu dunia dola trilioni 2.9 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita

Pakua

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imethibitihsa jinsi hali mbaya zaidi ya hewa imeshamiri katika kusababisha majanga katika karne hii ya 21.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'43"
Photo Credit
OCHA/Danielle Parry