Majanga yamegharimu dunia dola trilioni 2.9 katika kipindi cha miaka 20 iliyopita
Pakua
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imethibitihsa jinsi hali mbaya zaidi ya hewa imeshamiri katika kusababisha majanga katika karne hii ya 21.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'43"