Kampeni ya chanjo dhidi ya polio na surua Somalia kichocheo cha mustabali bora wa watoto 8 Oktoba 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Malaki ya watoto nchini Somalia wamechanjwa dhidi ya ugonjwa wa surua na polio wakati wa kampeni ya chanjo kudhibiti mlipuko wa magonjwa hayo hatari, imeeleza taarifa ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, UNSOM. Audio Credit Flora Nducha- Ahimidiwe Olotu Audio Duration 3'6" Photo Credit WHO surua Polio Somalia