Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kampeni ya chanjo dhidi ya polio na surua Somalia kichocheo cha mustabali bora wa watoto

Kampeni ya chanjo dhidi ya polio na surua Somalia kichocheo cha mustabali bora wa watoto

Pakua

Malaki ya watoto nchini Somalia wamechanjwa dhidi ya ugonjwa wa surua na polio wakati wa kampeni ya chanjo kudhibiti mlipuko wa magonjwa hayo hatari, imeeleza taarifa ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia, UNSOM.

Audio Credit
Flora Nducha- Ahimidiwe Olotu
Audio Duration
3'6"
Photo Credit
WHO