Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Gonjwa la COVID-19 limeumbua ukosefu wa maandalizi-Guterres

Gonjwa la COVID-19 limeumbua ukosefu wa maandalizi-Guterres

Pakua

Miezi 9 tangu kusikia kwa mara ya kwanza kuhusu ugonjwa wa Corona au COVID-19, janga hilo tayari limeshasababisha vifo vya watu zaidi ya milioni moja miongoni mwa zaidi ya watu milioni 30 waliothibitika kuwa na ugonjwa huo katika nchi 190.

Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'12"
Photo Credit
UN News