Gonjwa la COVID-19 limeumbua ukosefu wa maandalizi-Guterres
Pakua
Miezi 9 tangu kusikia kwa mara ya kwanza kuhusu ugonjwa wa Corona au COVID-19, janga hilo tayari limeshasababisha vifo vya watu zaidi ya milioni moja miongoni mwa zaidi ya watu milioni 30 waliothibitika kuwa na ugonjwa huo katika nchi 190.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'12"