Wazee katika jamii wanabeba mzigo mzito kufuatia vita Ukraine
Pakua
Vita vinavyoendelea Mashariki mwa Ukraine vimeongeza madhila kwa maelfu ya wazee na sasa janga la corona au COVID-19 imekuwa ni kama msumari wa moto juu ya kidonda. Mfuko wa msaada wa kibinadamu wa Ukraine unaofadhiliwa na Umoja wa Mataifa ndio mkombozi pekee kwa wazee hawa.
Audio Credit
Flora Nducha / Jason Nyakundi
Audio Duration
2'16"