Mafunzo kwa wanawake wamaasai yaleta mabadliko
Pakua
Harakati za Umoja wa Mataifa za kutekeleza lengo namba 5 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs la usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake linaendelea kupigiwa chepuo na wadau mbalimbali likiwemo shirika la kiraia la Naserian wilayan Monduli mkoani Arusha nchini Tanzania.
Audio Credit
Flora Nducha- Grace Kaneiya
Audio Duration
2'57"