Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

06 Oktoba 2020

06 Oktoba 2020

Pakua

Harakati za Umoja wa Mataifa za kutekeleza lengo namba 5 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs la usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake linaendelea kupigiwa chepuo na wadau mbalimbali likiwemo shirika la kiraia la Naserian wilayani Monduli mkoani Arusha nchini Tanzania.

Vita vinavyoendelea Mashariki mwa Ukraine vimeongeza madhila kwa maelfu ya wazee na sasa janga la corona au COVID-19 imekuwa ni kama msumari wa moto juu ya kidonda.

Kambale wageuka kichocheo cha uchumi kwa wanawake wa Ibadan Nigeria

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'7"