Wanawake Tanga hatujibweteki, tunajishughulisha
Pakua
Wanawake 10 mkoani Tanga Tanzania wameunda kikundi cha kushirikiana kufanya shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato ambapo wanatumia zao la mkonge au katani kutengeneza bidhaa mbalimbali, shughuli ambayo imewainua kiuchumi. Stella Vuzo wa Kituo cha habari za Umoja wa Mataifa, UNIC Dar es Salaam akiwa mkoani Tanga Tanzania amezungumza na mmoja wa wanawake hao.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Stella Vuzo
Audio Duration
3'25"