1 Oktoba 2020
Pakua
Hii leo mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA75 unakuwa na kikao cha ngazi ya juu kuhusu kuchagiza utekelezaji wa usawa wa jinsia na uwezeshaji wanawake na mtoto wa kike, sambamba na maadhimisho ya miaka 25 tangu mkutano wa 4 wa kimataifa kuhusu wanawake uliofanyika Beijing nchini China mwaka 1995.
Changamoto kwangu ni fursa ya kujifunza asema Fiona Beine mlinda amani raia wa Uganda nchini Iraq.
Wazee lazima wawe kipaumbele katika juhudi zetu za kuishinda COVID-19-Guterres
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'32"