Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

30 Septemba 2020

30 Septemba 2020

Pakua

Kulinda bayonuai ni jukumu la kila mtu kwa ajili ya kiazazi hiki na vijavyo asema Bi. Elizabeth Mrema Katibu Mtendaji wa mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya bayonuai. Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, mradi ulioendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF umewezesha watoto kufungua mradi wao wa kuoka na kupika mikate, mandazi na kalmati na hivyo kuona angalau nuru ya maisha kwenye taifa hilo lililogubikwa na mizozo hususan mashariki mwa nchi. Na UNIFIL yakita kambi Beirut kusaidia kurejesha maisha ya mji huo mkuu wa Lebanon.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'22"