29 Septemba 2020
Pakua
Tuna imani na UN, lakini ijitathmini nasi wanachama tujitathmini- Tanzania. Si haki kwa watu milioni 690 kulala njaa wakati chakula kinatupwa kila uchao yasema UN. Tunakufa kwa njaa. Tunahitaji chakula, Sudan Kusini walia baada ya mafuriko.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'45"