Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Niger, mafuriko yafurusha maelfu ya wakimbizi

Niger, mafuriko yafurusha maelfu ya wakimbizi

Pakua

Wakimbizi 9,000 wameathirika na mafuriko makubwa yanayoendelea nchini Niger tangu mwezi Julai na sasa wengi wanahitaji msaada wa dharura sio tu wa huduma za chakula na afya bali pia malazi baada ya makazi yao kusambaratishwa kabisa na mafuriko hayo, limesema shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.

Audio Credit
Flora Nducha/Jason Nyakundi
Audio Duration
2'
Photo Credit
IOM/Monica Chiriac