08 Septemba 2020 8 Septemba 2020 Jarida la Habari Pakua Watu 100 wapoteza maisha na zaidi ya laki 5 waathirika na mafuriko Sudan. UNHCR kuendeleza huduma licha wadau wake wa kibinadamu kufungiwa Uganda. UNMISS yagawa redio 500 za sola kusaidia watoto kusoma wakati huu wa COVID-19. Audio Credit Flora Nducha Audio Duration 13'10"