Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

2 SEPTEMBA 2020

2 SEPTEMBA 2020

Pakua

COVID-19 kuwatumbukiza wanawake wengine milioni 47 katika ufukara:UN Women/UNDP.  Familia zinazokimbia mashambulizi Msumbiji zajikuta katika maeneo yaliyoghubikwa na COVID-19.  IFAD imetuwezesha kujenga nyumba na kulala kwenye vitanda- Mkulima Ethiopia. 

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'37"