27 Agosti 2020
Pakua
Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Flora Nducha
- Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF yasame Takribani theluthi ya watoto wa shule duniani kote, hawakuweza kupata masomo nje ya mazingira ya shule.
-Nini siri ya Mauritius kudhibiti COVID-19 katika muda mfupi
-Kutana na mkimbizi Khalili Ibrahim kutoka Syria ambaye ajali na athari za janga la corona au COVID-19 ilimlazimisha kumwachisha binti yake shule ili afanye kazi.
-Na kwenye makala leo tunamulika safari ya Afrika kutokomeza ugonjwa wa Polio
-Na kwenye mashinani leo tutakwenda nchini Uganda ambako tutasikia jinsi shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani WHO linatoa mafunzo kwa wahudumu wa afya
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'13"