17 AGOSTI 2020
Pakua
Katika Jarida la habari hii leo Flora Nducha anakuletea
-Janga la corona au COVID-19 labadili tabia za wananchi wa Lamu Kenya utamsikia muasisi na mkurugeni wa shirika lisilo la kiserikali la Safari Doctors Umra Omar akifafanua
-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema ni muhimu kuendelea na huduma za msingi ikiwemo chanjo Sudan Kusini ili kukabili COVID-19
-Huko nchini CAR mpango wa Umoja wa Mataifa MINUSCA washirikiana na serikali kulimisha jamii kuhusu COVID-19 kwa kutumia michoro na picha
-Makala yetu leo inatupeleka Uganda kambi ya wakimbizi ya Kiyangwali kwa mkimbizi anayeelimisha wenzie kuhusu COVID-19
-Na mashinani tuko Zimbabwe kuangazia hali ya utapiamlo kwa watoto
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'3"