Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Asante UNIC Dar es Salaam kunipa fursa ya kukuza maarifa yangu-Hilda Amedhastone Phoya

Asante UNIC Dar es Salaam kunipa fursa ya kukuza maarifa yangu-Hilda Amedhastone Phoya

Pakua

Je una ndoto za siku moja kufanya kazi na Umoja wa Mataifa? Makala ifuatayo ni mahojiano kati ya Ahimidiwe Olotu wa UNIC Dar es Salaam na Hilda Amedhastone Phoya, mwanafunzi ambaye amehitimisha mafunzo kwa vitendo katika Kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa UNIC Dar es Salaam, akieleza kuhusu alivyonufaika na fursa ya kujifunza kwa vitendo katika kituo hicho kinachohusika na habari za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania na jinsi kituo hicho kilivyonoa uelewa wake kuhusu masuala mbalimbali ya kimataifa. 

Audio Credit
Loise Wairimu\Ahimidiwe Olotu
Audio Duration
3'39"
Photo Credit
UN Tanzania/Ahimidiwe Olotu