05 Agosti 2020
Pakua
Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Assumpta Massoi
-Lebanon,iko katika siku ya maombolezo kufuatia mlipuko mkubwa wa jana katika mji mkuu Beirut UNIFIL iko tayari kusaidia.
- Nchini Niger, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linashirikiana na wadau kutekeleza mbinu za haraka za kukabiliana na utapiamlo uliokithiri miongoni mwa watoto .
- Takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR zinaonesha kuwa theluthi mbili ya raia milioni mbili wa Sudan Kusini wanaoishi uhamishoni, ni watoto.
-Na leo kwenye Makala nchini Tanzania kusikia kuhusu harakati za kuokoa mazingira ya mkoani Morogoro.
-Na kwenye mashinani leo tutakwenda nchini Tanzania kuona jinsi taasisi ya Aurateen inapatia vijana jukwaa la kutambua masuala ya afya ya uzazi Karibu!
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
11'52"