28 JULAI 2020
Pakua
Katika jarida la Umoja wa Mataifa hii leo na Assumpta Massoi
-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Janga la COVID-19 linatupa fursa ya kuibadilisha miji yetu.
-Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa FAO lasema Kenya imejitahidi kudhibiti nzige lakini tishio bado lipo Afrika Mashariki
-Msitu wa Kafa Ethiopia watunzwa kunufaisha wakulima na wanywaji kahawa
-Na leo kwenye Makala tutaelekea nchini Uganda kusikia maisha ya wanafunzi wakimbizi wakati wa COVID-19 nchini Uganda.
-Na kwenye mashinani leo tuko nchini Kenya kupata kauli ya mchangiaji wa damu kupitia shirika la Idadi ya watu duniani la umoja wa Mataifa UNFPA Karibu!
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
12'