Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tunahifadhi mazingira huku tukijipatia kipato-Vijana Kibera, Kenya.

Tunahifadhi mazingira huku tukijipatia kipato-Vijana Kibera, Kenya.

Pakua

Kutokana na ukosefu wa ajira kwenye nchini  nyingi  ni kawaida watu kutafuta na kubuni njia za kukidhi mahitaji  yao ya kila siku. Mtaani Kibera mjini Nairobi, vijana wameanzisha kikundi ambacho hivi sasa  kinaendelea na mradi ya kukusanya taka na kuzitumia kuunda vifaa mbalimbali kisha kuviuza kupitia mradi ujulikanao kama 'Slum going green and clean', ikiwa pia ni njia ya kusafisha mazingira. Jason Nyakundi amezungumza na kiongozi wa kikundi hicho Brian Nyabut

Audio Credit
Loise Wairimu\Jason Nyakundi
Audio Duration
3'21"
Photo Credit
UN-Habitat/Nathan Kihara