Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

22 JULAI 2020

22 JULAI 2020

Pakua

Katika Jarida la Habari za UN hii leo Flora Nducha anakuletea 

-Mkimbizi kutoka Afghanistan aliyepatiwa hifadhi katika kijiji kimoja nchini Ufaransa sasa alipa fadhilia kwa kutumia talanta yake ya ufundi cherahani, anashona barako na kuzigawa bure kwa jamii inayomuhifadhi

-Mafunzo ya ujasiriliamali yanayotolewa na mfuko wa kimataifa wa maendeleo ya kilimo IFAD kwa kushirikiana na serikali ya Norway na Niger yaleta nuru kwa vijana wakimbizi mjini Diffa Niger

-Nchini DRC kutaka na mtoto wa miaka 7 ambaye ni mkulima wa bustani anasema analinda mazingira lakini pia kusaidia kulisha familia yake

-Makala yetu inatupeleka Tanzania kumulika vijana na masomo ya masuala ya anga ikiwemo uhandisi, urubani na kuongoza ndege

-Na mashinani tutakuwa kenya kwa msichana ambaye anaelimisha wachuuzi kwenye makazi ya Kibera kuhusu kujilinda na COVID-19

Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'44"