17 Julai 2020
Pakua
Leo Ijumaa ni mada kwa kina tunakwenda nchini Uganda ambako ingawa si msimu w amvua, Ziwa Albert linafurika kila uchao na kusababisha mamia ya watu kukimbia eneo hilo, huku wafanyabiashara wakipoteza mbinu zao za kujipatia kipato, COVID-19 ikiongeza chumvi kwenye kidonda cha makali ya maisha. Neno la wiki leo ni methali kutoka kwa mchambuzi wetu Aida Mutenyo nchini Uganda lakini kumbuka kuna muhtasari wa habari ukiangazia siku ya kimataifa ya Mandela kesho Jumamosi Julai 18. Mwenyeji wako ni Flora Nducha, karibu.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
9'58"