Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nimevumbua kifaa cha kumsaidia mgonjwa kupumua akiwa njiani kwenda Hospitali

Nimevumbua kifaa cha kumsaidia mgonjwa kupumua akiwa njiani kwenda Hospitali

Pakua

Wakati nchi nyingi zikijaribu kupambana na janga la virusi vya corona au COVID-19 kwa kuwahudumia wagonjwa wanaoongezeka kila uchao, wito pia unatolewa kwa watu wote kila mtu kwa namna ifaayo, kuchangia katika vita hii. Mmoja wa watu walioitikia wito huo ni kijana Peter Mbiria ambaye amefanikiwa kuunda kifaa cha kuwasaidia wagonjwa kupumua ambacho zaidi kinaweza kutumiwa kutumiwa kusambaza hewa wakati mgonjwa yuko kwenye gari la kubeba wagonjwa akisafirishwa kwenda hospitalini. Ungana na Jason Nyakundi katika mahojiano haya.

Audio Credit
Loise Wairimu/Jason Nyakundi
Audio Duration
5'12"
Photo Credit
Jason Nyakundi