Tumaini katika biashara ya mkimbizi kati ya changamoto za COVID-19, Uganda
Pakua
Licha ya changamoto za biashara kudorora kutokana na vikwazo vya kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona au COVID-19, wanawake wakimbizi nchini Uganda wanajitahidi kuendelea kujikimu wakiwa na matumaini siku moja mambo yatarejea kuwa kama kawaida. Basi ungana na John Kibego aliyetembelea jamii ya wakimbizi na kuzungumuza na mkimbizi mjasiriamali kutoka Rwanda.
Makala hii imetayarishwa na John Kibego
Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
3'27"