Jamii haikubali kifo, mume anapofariki dunia, huamini mke amemuua- Christine
Pakua
Hii leo ulimwengu unaadhimisha siku ya kimataifa ya wajane ambao mara nyingi wanapobakia wenyewe pindi wenza wao wanapofariki dunia ni kutaabika kiuchumi na kijamii. Mathalani taabu katika kulea watoto na changamoto nyingine za kifamilia. Katika kumulika changamoto hizo, mwandishi wetu wa Nairobi, Kenya, Jason Nyakundi amezungumza na Christine Iganza kutoka Vihiga Magharibi mwa Kenya ambaye alibaki mjane mwaka 2008 na watoto 4 akiwemo mmoja mwenye umri wa wiki tatu. Christine anaanza kwa kuelezea maisha yalivyobadilika.
TAGS: , Wajane
Audio Credit
Loise Wairimu\Jason Nyakundi
Audio Duration
5'21"