Hatua za kupambana na COVID-19 zimeongeza ugumu wa maisha kwa wazee Uganda
Pakua
Ikiwa leo ni siku ya uelimishaji kuhusu ukatili dhidi ya wazee duniani, tunaelekea nchini Uganda kuangazia hali ya wazee kiafya na kijamii kutokana na vikwazo vya kudhibiti kuenea kwa COVID-19 ikiwemo kubanwa kwa usafiri wa umma na amri ya kutotembea usiku na hivyo kuongezeka kwa gharama za kusafiri na uwezo wa kufikia msaada. Maelezo zaidi na mwandishi wetu John Kibego akiwa Uganda.
Audio Credit
Loise Wairimu/John Kibego
Audio Duration
2'34"