Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

12 JUNI 2020

12 JUNI 2020

Pakua

Kuelekea siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino kesho tarehe 13 mwezi Juni, baadhi ya watanzania wenye ualbino wamepaza sauti ya kile wanachoomba kifanyike kuwanusuru wakati huu wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19.

Wamepaza sauti hizo huko Dodoma, mji mkuu wa Tanzania wakati wakihojiwa na Devotha Songorwa wa Radio washirika Kids Time FM.

Na katika kujifunza Kiswahili, Neno la wiki-MANUVA linachambuliwa na Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA, Onni Sigalla.

Audio Credit
Flora nducha
Audio Duration
9'53"