11 JUNE 2020
Pakua
Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo
- UNHCR yasema Muda unawatupa mkono watu wa Sahel wakati mashambulizi yakishika kasi
- IMF yasamehe deni la Tanzania la dola milioni 14.3, msamaha zaidi watarajiwa
- Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tumezingatia ushauri wote wa kitaalam kuwalinda wanafunzi na wafanyakazi
-Na kwenya mashinani tutakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC , ambako mfanyakazi wa UNICEF anaelezea anayoelimisha familia yake jinsi ya kujikinga na maambukizi ya COVID-19
-Na kwenye makala hii leo tutaelekea nchini Kenya kusikia ubunifu wa mtoto mwenye umri wa miaka 9, katika mapambano dhidi ya COVID-19
Audio Duration
9'56"