01 June 2020
Pakua
Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo
-WHO ya sema huduma za kinga na tiba dhidi ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza, zimevurugwa kwa kiasi kikubwa tangu kulipuka kwa ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID-19.
-Nchini Colombia katika mpaka na Venezuela UNHCR linashirikiana na wadau kutoka huduma za tiba na ushauri nasaha kwa mamia ya watu walioathirika na virusi vya Corona au COVID-19 na huduma zingine.
-Kampuni ya Deutsche Bahn Ujerumani yatimiza ndoto ya mkimbizi wa Syria.
-Na kwenye makala leo tutaelekea nchini Uganda kusikia baadhi ya wakimbizi nchini humo wanasemaje kuhusu shughuli za walinda amani.
-Na kwenye Mashinani leo tunaenda DRC kuangazia harakati za Umoja wa Mataifa kunusuru watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Audio Duration
12'57"