28 Mei 2020
Pakua
-Leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa :
-Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM la sema tushikamane kuchangia na kuwanusuru Wasyria na COVID-19
- Kuelekea siku ya walinda amani duniani kesho Mei 29, tunamulika askari wanawake wa Tanzania.
- Kutana na sajenti Desta anayesifika kwa kutengeneza magari ya UNMISS, Sudan Kusini
- Na kwenye Mashinani leo tutakwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kusikia jinsi mchungaji mwanaume alivyotumikishwa kingono na wanamgambo wanawake.
-Na kwenye makala leo tuamsikia mwanamuziki Kala Jeremiah wa Tanzania kwa maneno yake mwenyewe anaelezea kwa kina kuhusu wimbo wake alioutoa hivi karibuni mahususi kuelimisha jamii kujikinga na virusi vya corona.
Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
13'21"