Mbinu dhidi ya virusi vya Corona zachangia uhifadhi wa mazingira- UNEP
Pakua
Naam na sasa tuelekee nchini Tanzania kusikiliza sehemu ya mchango au ushiriki wa shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP katika mapambano dhidi ya virusi vya corona, COVID-19. Katika mahojiano haya yaliyofanywa na Hilda Phoya wa kituo cha habari za Umoja wa Mataifa UNIC Dar es salaam, Clara Makenya ambaye ni Mwakilishi wa UNEP nchini Tanzania anaanza kwa kueleza hatua zinazochukuliwa na shirika lake katika kupambana na COVID-19.
Mahojiano haya yameandaliwa na Hilda Phoya, UNIC Dar es salaam
Audio Credit
Flora nducha/Clara Makenya
Audio Duration
5'39"