04 Mei 2020
Pakua
Leo katika Jarida la Umoja wa Mataifa tutaskia :
-Mwendazake Balozi Augustine Mahiga na mchango wake katika Umoja wa Mataifa.
-Kwa watu waliofanyakazi kwa karibu na Balozi Mahiga wakati wa uhai wake wanasema alikuwa mfano wa mfano wa kuigwa na wanajivunia sana kumfahamu .
-Walinda amani wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS kukarabati barabara za kuunganisha maeneo ya Bunj.
-Na leo kwenye makala tunaelekea Tanzania kusikia kutoka kwa mratibu wa chama za wakunga ikiwa kesho dunia ikiadhimisha siku ya wakunga duniani,.
- Na mashinani tuamsikia mtoto mwenye umri wa miaka 12 anaomba dunia itokomeze virusi vya Corona!
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
13'17"