30 APRILI 2020
Pakua
Hii leo katika Jarida la Habari kutoka Umoja wa Mataifa Flora Nducha anakuletea
-Miezi mitatu baada ya WHO kutangaza COVID-19 kuwa janga la kimataifa Shirika hilo linasema halitokata tamaa katika juhudi za kutokomeza janga hilo.
-Kambi ya wakimbizi nchini Kenya wahudumu wa afya wanafanya kila wawezalo kuwalinda wakimbizi dhidi ya COVID-19.
-Nchini DRC kutana na mtoto Cornell anayeelimisha jamii kujikinga na janga la COVID-19 huku akiwasaidia wazazi wake.
-Makala yetu leo inatupeleka Uganda kumulika uhakika wa chakula wakati huu wa janga la COVID-19 .
-Mashinani leo tutamskia binti wa miaka kumi na saba aliyerubuniwa kuingia katika mapenzi kwa muda wa mwaka mzima.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
11'18"