Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IFAD inastahili kushinkwa mkono ili kusaidia wakulima Idri na Sabrina Elba

IFAD inastahili kushinkwa mkono ili kusaidia wakulima Idri na Sabrina Elba

Pakua

Mabalozi wema wa mfuko wa kimataifa wa maendeleo  ya kilimo IFAD leo wamezindua ombi la dola milioni 200 ili kuzisaidia jamii za vijiji kukabiliana na mlipuko wa janga la virusi vya Corona au COVID-19

Audio Credit
UN News/ Assumpta Massoi
Audio Duration
1'50"
Photo Credit
© IFAD/Rodney Quarcoo