Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mapambano dhidi ya COVID-19 Kenya

Mapambano dhidi ya COVID-19 Kenya

Pakua

Watu waliopoteza maisha hadi sasa kote duniani kutokana na virusi vya corona ikiwa imevuka 20,000 huku zaidi ya watu nusu milioni kote duniani wakiambukizwa virusi hivyo hatari nchini Kenya kama zilivyo nchi nyingine, mapambano dhidi ya ugonjwa huo yanaendelea. Katika makala ya leo, mwandishi wetu wa Nairobi Jason Nyakundi anaangazia tahadhari ambazo watu wa Kenya wanazichukua kujikinga na virusi vya corona na changamoto wanazokumbana nazo.

Audio Duration
6'6"
Photo Credit
© Julius Mwelu/ UN-Habitat