Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

26 MACHI 2020

26 MACHI 2020

Pakua

Katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa hii leo Assumpta Massoi anakuletea

-Visiwa vya Zanzibar nchini Tanzania vyachukua hatua kukabiliana na mlipuko wa virusi vya Corona COVID-19 ikiwemo kupunguza mrundikano magerezani

- Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF linasema  COVID-19 isiwe chanzo cha kusahau huduma muhimu za chanjo kwa watoto

-Shirika la Umoja wa Mataifa la uhamiaji IOM limewachagiza wahamiaji kuingia katika sekta ya kilimo likisema jembe halimtupi mkulima

-Makala yetu leo inatupeleka nchini Tanzania ambapo tutasikia kutoka kwa afisa habari wa wizara ya afya nchini humo kuhusu mapambano dhidi ya virusi vya corona.

-Na mashinani utamsikia Kamishina Mkuu wa Haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet akizungumzia virusi vya Corona na wafungwa magerezani

Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
12'55"