Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hisia za wakimbizi nchini Uganda kufuatia mlipuko wa Corona unaoshuhudiwa duniani kote

Hisia za wakimbizi nchini Uganda kufuatia mlipuko wa Corona unaoshuhudiwa duniani kote

Pakua

Katika makala ya wiki hii tutakuwa nchini Uganda tukiangazia shaka na shuku miongoni mwa wakimbizi na hatua za Umoja wa Mataifa wakati huu wa maambukizi ya Corona.  

Mwandishi wetu wa Uganda, John Kibego alikwenda kambi ya wakimbizi ya Kyangwali kusikiliza shaka na shuku zao kuhusu hofu ya kuingia kwa virusi vya corona kwenye taifa hilo ambalo bado halina mgonjwa hadi leo Ijumaa. 

Audio Credit
John Kibego
Audio Duration
4'56"
Photo Credit
UN News/ John Kibego