Ripoti yaonesha elimu kwa wasichana haina maana iwapo jamii ina mtazamo hasi dhidi yao
Pakua
Miongo miwili na nusu tangu mkutano wa kihistoria wa wanawake mjini Beijing, China bado ghasia dhidi ya wanawake na wasichana zimeshamiri na cha ajabu zinakubalika.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
1'59"