WHO yasema DRC imepiga hatua kubwa katika kudhibiti Ebola
Pakua
Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema kuna hatua kubwa imepigwa katika kudhibiti mlipuko wa ebola nchini Jamhuri ya Kimekrasia ya Congo DRC, huku visa vikipungua kutoka 120 kwa wiki mwezi mwaka jana hadi visa vidatu au sufuri kwa wiki nne zilizopita.
Audio Credit
Amina Hassan
Audio Duration
2'