Hukumu dhidi ya wanamgambo CAR kunaashiria kutendeka kwa haki- Lt. Jenerali Keita
Pakua
Hatua ya hivi karibuni ya kuwahukumu wajumbe wa kundi la wanamgambo nchini Jamhuri ya afrika ya Kati CAR, kutokana na mauaji ya raia na walinmda amani yalitotekelezwa mwaka 2017 imetoa ujumbe mzito kwamba ukwepaji sheria hauvumiliki.
Audio Credit
Flora Nducha/ John Kibego
Audio Duration
2'2"