Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

28 Februari 2020

28 Februari 2020

Pakua

Hakuna mgonjwa mpya wa Ebola huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC katika siku 7 zilizopita, ni moja  ya habari muhimu hii leo kwenye muhtsasari wa habari na kisha ni mada kwa kina leo tukijikita huko wilayani Bukoba mkoa wa Kagera nchini Tanzania, mwandishi wa Radio washirika ya Kasibante FM Nicolaus Ngaiza anazungumza na mkunga wa jadi. Neno la Wiki leo ni gidamu, wafahamu maana yake? Tumekwenda BAKIZA huko Zanzibar! Basi  ungana na  mwenyeji wako hii leo jaridani, Flora Nducha.

Audio Credit
Flora Nducha
Audio Duration
9'41"